Geita District Council

Geita District Council

Geita District Council

Mission and Vision
Dhima ya Halmashauri

Dhima kuu ni kuhakikisha kuwa wananchi wanapata huduma zenye tija na endelevu kupitia utekelezaji wa sera na miongozo inayozingatia utawala bora na ushirikishwaji wa wananchi katika hatua zote za maamuzi kuelekea maisha bora.

Dira ya Halmashauri

Halmashauri kujenga uwezo wake katika kutoa huduma endelevu ili kuhakikisha maisha bora na kupunguza umaskini kwa wananchi wa Halmashauri ya mji Geita ifikapo 2025

Cookies

This website uses cookies to ensure you get the best experience on our website. Cookie Policy

Accept